Kikohozi kikavu ni kikohozi ambacho hudumu kwa muda wa wiki nane au kwa muda mrefu mara kinapompata mtu mwenye umri mkubwa, au wiki nne kwa watoto wadogo. NUKUU: Kikohozi kikavu ni hali ambayo inapompata mtu humfanya kukereka mno. Hali ya kikohozi kikavu inaweza kumfanya muhusika akakosa usingizi kabisa na akajisikia…
ZIJUE SABABU ZA TUMBO KUJAA GESI, DALILI NA MADHARA YAKE.
Chakula kutokusagwa au mchafuko wa tumbo ni msemo wa kawaida ambao huelezea masumbufu ndani ya tumbo lako la juu. Chakula kutokusagwa sio ugonjwa, bali kuna baadhi ya dalili unaweza kuzipata, ikiwa pamoja na maumivu ya tumbo na kujisikia tumbo kujaa gesi muda mfupi tu unapoanza kula. Ingawa hali ya tumbo…
ZIJUE SABABU NYINGI ZINAZOPELEKEA WANAWAKE WENGI KUTOKUSHIKA UJAUZITO?
Mwanamke kutokushika mimba kumegawanyika katika makundi makuu mawili. Kwanza ni hali inayoitwa “Primary infertility” ambapo mwanamke hana historia ya kupata ujauzito. Pili, kuna hali inayoitwa Sekondari infertility, hapa mwanamke anayo historia kama aliwahi kupata ujauzito haijalishi kama alizaa au alitoa ama iliharibika. NUKUU: Matatizo ya kutoshika mimba kitaalamu tunaita ‘infertility’…
FAHAMU VYANZO VYA UGONJWA WA KIFUA KIKUU(TB), DALILI ZAKE, MADHARA YAKE NA TIBA YAKE.
Kifua kikuu(TB) ni ugonjwa unaweza kuwa mbaya kabisa ambao huathiri sana mapafu. Bakteria wanaosababisha ugonjwa wa kifua kikuu(TB) husambaa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine kupitia matone madogo ya mate yanayotolewa baada ya kupiga chafya au kukohoa. Mara chache katika nchi zilizoendelea, maambukizi ya ugonjwa wa kifua kikuu yalianza…
JE, KUPATA HEDHI MARA 2 KWA MWEZI NI JAMBO LA KAWAIDA? JE, NINI HUSABABISHA NA NINI MADHARA YAKE?
Ni kawaida kabisa mwanamke kupata mzunguko wa hedhi wa siku 23-38, na hata mabinti nao pia hupata mizunguko yenye urefu wa siku kama hizo. Lakini kumbuka kila mwanamke ana utofauti wake, na kila mzunguko wa mtu unaweza kutofautiana kuanzia mwezi mmoja hadi unaofuata. Katika vipindi vya miezi kadhaa, mzunguko wako…
ZIJUE TOFAUTI KATI YA KISONONO NA KASWENDE
Je, Kisonono Nini? Kisonono ni ugonjwa wa zinaa unaojulikana katika jamii. Pia ni ugonjwa unaosababishwa na bakteria ambao wanaweza kuletwa na mwenzi wako kupitia uke, njia ya haja kubwa au mdomoni wakati mnapofanya tendo la ndoa. Je, Dalili Zake Zinakuwaje? Kisonono mara nyingi huwa hakisababishi dalili. Wanawake wenye maambukizi ya…