Kuvimba kwa uke kunaweza kuashiriwa na kutokwa na uchafu, au kuwa na muwasho na maumivu ukeni. Kwa kawaida Chanzo huwa ni badiriko kwenye uwiano wa bakteria ukeni au maambukizi. Viwango vya homoni ya estrogen vinapopungua baada ya kukoma hedhi pamoja na maradhi mengine ya ngozi pia yanaweza kusababisha uke kuvimba.…
Je, Nini Faida Na Madhara Ya Kufunga Kizazi?
Kufunga kizazi, ni uzazi wa mpango wa kudumu. Wakati wa kufunga kizazi, mirija ya uzazi hukatwa, au kufungwa au kuzibwa kabisa ili kuzuia ujauzito daima. Kufungwa kwa mirija ya uzazi huzuia yai lisiweze kusafiri kutoka kwenye vifuko vya mayai (ovaries), na huzuia mbegu za mwanaume zisisafiri na kufika mpaka kwenye…
ZIJUE SABABU ZINAZOPELEKEA KUVIMBA KWA TONSES(MAFINDOFINDO) NA TISHU LAINI PUANI (ADENOIDS).
Je, Tonses Na TishuLlaini(Adenoids) Ni Nini? Tonses(mafindofindo) na Adenoids(tishu laini) ni moja kati ya mtandao wa viungo muhimu mwilini vinavyo husika na kinga dhidi ya maambukizi ya virusi, bakteria ambao hujitokeza ili kuingia puani au mdomoni, lakini tishu hizi za limfu ndizo huzuia bakteria au virusi wasiweze kuingia ndani zaidi.…
FAHAMU MATATIZO YA NYAMA ZA PUA NA UGONJWA WA PUMU
Watu wengi wenye ugonjwa wa pumu pia wana matatizo sugu ya muda mrefu ya pua na njia ya hewa. Matatizo haya yanaweza kuwa ni: Kuvimba kwa tishu puani(rhinitis) Kuvimba kwa tishu kwenye njia ya hewa ndani ya mifupa usoni mwako(sinusitis) Kuvimba kwa njia ya hewa pamoja na tishu za puani.…
ZIJUE SABABU ZINAZOPELEKEA MLANGO WA KIZAZI KULEGEA(INCOMPETENT CERVIX). JE, NINI MADHARA YAKE?
Mlango wa kizazi kulegea, pia huitwa mlango wa kizazi kutokuwa na uwezo, ni hali ambayo hutokea pale tishu dhaifu za mlango wa kizazi zinaposababisha au kuchangia kujifungua mtoto kabla ya muda wake au kuharibika kwa mimba. Kabla ya ujauzito, mlango wako wa kizazi, yaani sehemu cha chini ya mji wa…
JE, UNAJUA CHANZO CHA KIKOHOZI KIKAVU? JE, NINI DALILI NA MADHARA YAKE?
Kikohozi kikavu ni kikohozi ambacho hudumu kwa muda wa wiki nane au kwa muda mrefu mara kinapompata mtu mwenye umri mkubwa, au wiki nne kwa watoto wadogo. NUKUU: Kikohozi kikavu ni hali ambayo inapompata mtu humfanya kukereka mno. Hali ya kikohozi kikavu inaweza kumfanya muhusika akakosa usingizi kabisa na akajisikia…