JE, NINI MAANA YA KUTOKUWA NA UWIANO SAWA WA HOMONI KWA WANAWAKE(HORMONAL IMBALANCE)?

Hali ya kutokuwa na uwiano sawa(hormonal imbalance) kwa wanawake hutokea pale vichocheo au homoni zinapopanda sana au kushuka sana kufikia viwango vya chini kwenye mkondo wa damu. Vichocheo au homoni huwa ni kemikali zinazozarishwa na tezi katika mfumo wa endocrine zinazoambia seli, tishu, pamoja na viungo, kitu gani cha kufanya.…

ZIJUE FAIDA 12 ZA UNGA SAFI WA HAPPY LIFE 4 BABY.

Happy Life 4 Baby ni unga safi uliotengenezwa kwa mchanganyiko wa vyakula vya asili vya nafaka, kunde pamoja na mbegumbegu. Mojawapo ya mchanganyiko wa vyakula hivi ni shayiri. Kadiri mtoto anapofikia hatua ya kuacha kunyonya, na kuanza kula chakula kigumu, basi ni vyema kumchagulia chakula chake cha kuanza kutumia kwa…

JE, KWANINI UGONJWA WA PID UNAWEZA KUJIRUDIA RUDIA?

Maambukizi ya ugonjwa wa PID wakati mwingine yanaweza kusababisha matatizo ya kudumu, hasa ikiwa kama ugonjwa haujatibiwa haraka. Lakini watu wengi wenye ugonjwa huu wanaokamilisha dozi zao kwa dawa za asili, wao huwa hawana matatizo ya muda mrefu. NUKUU: Wakati mwingine unaweza kuona hali ya PID inajirudia. Na ufahamu kwamba…

JE, NINI TOFAUTI KATI YA MAAMBUKIZI YA FANGASI SEHEMU ZA SIRI NA MAAMBUKIZI KATIKA NJIA YA MKOJO AU UTI?

Je, Nini Tofauti?   Kama ukipata masumbufu katika njia za siri au wakati unapokojoa, tambua kuwa una maambukizi. Aina mbili za maambukizi ambazo kwa kawaida huathiri maeneo haya huwa ni maambukizi katika njia ya mkojo au UTI pamoja na maambukizi ya fangasi. Aina hizi za maambukizi huwapata wanawake, lakini wanaume…

Je, Nini Kinachosababisha Mbegu Za Mwanume Kuwa Nyepesi?

Unaweza usijue kuwa una tatizo la mbegu kuwa nyepesi mpaka pale utakapoanza kutafuta mtoto na ukashindwa kufanikiwa. Vipimo vinaweza kuonyesha kwamba una mbegu chache kuliko idadi ya kawaida ya mbegu. Lakini zipo tiba mbalimbali nyingi za kuondoa tatizo hili. Je, Nini Maana Ya Mbegu Kuwa Nyepesi(Oligospermia)? Mbegu kuwa nyepesi imaanisha kwamba…

JE, KWANINI WANAUME WENGI LEO WANAPUNGUKIWA NGUVU ZA KIUME?

Uume kulegea maana yake ni uume kutokuwa na uwezo wa kusimama na kushindwa kufanya tendo la ndoa. Kupatwa na tatizo la kuishiwa nguvu za kiume mara kwa mara hupoteza sifa za muhusika katika. NUKUU: Ikiwa kama hali hii itadumu kuendelea, hivyo inaweza kusababisha msongo wa mawazo, kuharibu ujasili wako na…