JE, NINI TOFAUTI KATI YA MAAMBUKIZI YA FANGASI SEHEMU ZA SIRI NA MAAMBUKIZI KATIKA NJIA YA MKOJO AU UTI?

Je, Nini Tofauti?   Kama ukipata masumbufu katika njia za siri au wakati unapokojoa, tambua kuwa una maambukizi. Aina mbili za maambukizi ambazo kwa kawaida huathiri maeneo haya huwa ni maambukizi katika njia ya mkojo au UTI pamoja na maambukizi ya fangasi. Aina hizi za maambukizi huwapata wanawake, lakini wanaume…

Je, Nini Kinachosababisha Mbegu Za Mwanume Kuwa Nyepesi?

Unaweza usijue kuwa una tatizo la mbegu kuwa nyepesi mpaka pale utakapoanza kutafuta mtoto na ukashindwa kufanikiwa. Vipimo vinaweza kuonyesha kwamba una mbegu chache kuliko idadi ya kawaida ya mbegu. Lakini zipo tiba mbalimbali nyingi za kuondoa tatizo hili. Je, Nini Maana Ya Mbegu Kuwa Nyepesi(Oligospermia)? Mbegu kuwa nyepesi imaanisha kwamba…

JE, KWANINI WANAUME WENGI LEO WANAPUNGUKIWA NGUVU ZA KIUME?

Uume kulegea maana yake ni uume kutokuwa na uwezo wa kusimama na kushindwa kufanya tendo la ndoa. Kupatwa na tatizo la kuishiwa nguvu za kiume mara kwa mara hupoteza sifa za muhusika katika. NUKUU: Ikiwa kama hali hii itadumu kuendelea, hivyo inaweza kusababisha msongo wa mawazo, kuharibu ujasili wako na…

JE, KUNA UHUSIANO GANI KATI YA UGONJWA WA KISUKARI(DIABETES) NA KIHARUSI(STROKE)?

Je, kuna uhusiano gani kati ya kisukari na kiharusi? Kisukari kinaweza kuongeza vihatarishi vingi vya magonjwa katika afya yako, ikiwa pamoja na ugonjwa wa kiharusi. Kwa ujumla watu wenye ugonjwa wa kisukari huelekea kupata ugonjwa wa kiharusi kwa urahisi sana kuliko watu wasiokuwa na kisukari. NUKUU: Ugonjwa wa kisukari huathiri…