Hii huwa ni ile hali ya tezi dume kuathirika kutokana na vyanzo mbalimbali kwa mfano; bakteria, nk. Kuathirika kwa tezi dume kunaweza kusababisha hata utendaji kazi wake kupungua, na inapatikana chini ya kibofu cha mkojo na kazi yake kubwa ni kuzarisha manii kwaajili ya kurutubishana kusafirisha mbeguza kiume kutoka…
JE, UNAJUA SABABU ZINAZOPELEKEA WANAWAKE WENGI KUTOKUSHIKA MIMBA?
Mwanamke kutokushika mimba kumegawanyika katika makundi makuu mawili. Kwanza ni hali inayoitwa “Primary infertility” ambapo mwanamke hana historia ya kupata ujauzito. Pili, kuna hali inayoitwa Sekondari infertility, hapa mwanamke anayo historia kama aliwahi kupata ujauzito haijalishi kama alizaa au alitoa ama iliharibika. Matatizo ya kutoshika mimba kitaalamu tunaita…
JE, WAJUA CHANZO CHA MIGUU AU MIKONO KUWAKA MOTO, KUUMA, AU KUFAGANZI?
Katika mwili wa binadamu, kuna tatizo la kiafya ambalo huambatana na dalili za mtu kuhisi maumivu, kuhisi kuwaka moto na kufa ganzi kwa viungo vya pembezoni mwa mwili yaani miguu na mikono. Tatizo hili kitaalamu hujulikana kwa jina la Peripheral Neuropathy. Mwili wa binadamu hutawaliwa na mifumo ya neva au…
JE, WAJUA CHANZO CHA HOMA YA MATUMBO(TYPHOID) DALILI, NA TIBA YAKE?
Mpendwa msomaji, naomba utege sikio nikueleze kwa kifupi tu uweze kujua habari ya homa ya matumbo. Homa ya matumbo(Typhoid) kwa kawaida husababishwa na bakteria anayeitwa Salmonella Typhi. Ugonjwa huu huambukizwa kwa mtu kwa kula au kunywa chakula au maji yalio na kinyesi cha mtu aliyambukizwa. Bakteria hawa hutoboa na…
JE, WAZIJUA SABABU ZA MWANAMKE KUKOSA HEDHI(AMENORRHEA)?
Je, Amenorrhea Ni Nini? Kwa kawaida hii ni hali ya mwanamke ambaye amepevuka na kukomaa maumbile yake ya Uzaz kushindwa kupata hedhi au kupitiliza siku za hedhi. Kwa ufupi tatizo hili limekua likiwakumba na kuwaletea usumbufu wa kisaikolojia wanawake wengi wakidhani kwamba wamepata ujauzito nk, hata hivyo tatizo hili…
JE, WAJUA VYANZO VYA KUVIMBA KWA TEZI DUME NA DALILI ZAKE?
JE, WAJUA VYANZO VYA KUVIMBA KWA TEZI DUME NA DALILI ZAKE? Je, Tezi Dume Ni nini? Tezi dume ni sehemu mojawapo ya mfumo wa uzazi wa kiume. Inaundwa na sehemu mbili, lobes, ambazo zimeunganishwa na kufunikwa kwa nje kwa utando wa tishu. Tezi hii ipo mbele kidogo…
JE, WAJUA VYANZO NA DALILI ZA UVIMBE WA FIBROID?
Fibroid ni tishu ndogo ambazo huanza kuota ndani ama nje ya tumba la kifuko cha uzazi la mwanamke. Na ieleweke kuwa, wakati mwingine uvimbe huu hukua na kuwa mkubwa zaidi na kusababisha Maumivu makali ya tumbo la chini na kutokwa na damu muda mrefu kipindi cha hedhi. Tatizo hili…
JE, WAJUA VYANZO, DALILI NA MADHARA YA UGONJWA WA PANGUSA(CHLAMYDIA)?
JE, WAJUA VYANZO, DALILI NA MADHARA YA UGONJWA WA PANGUSA(CHLAMYDIA)? Pangusa ama kitaalamu wanaita Chlamydia trachomatis, ni ugonjwa wa zinaa wa kawaida kabisa, nayo huwa ni maambukizi yanayosababishwa na bacteria aina ya pathogen ambao wanaweza kuharibu mlango wa kizazi ama shingo ya kizazi(cervix) wa mwanamke, mrija wa mkojo…
JE, WAJUA UVIMBE KATIKA VIUNGO VYA NJE VYA UZAZI WA MWNAMKE?
Tatizo hili huwatokea zaidi wanawake walio katika umri wa kuzaa. Viungo vya nje vya uzazi vya mwanamke ambavyo huathirika na tatizo hili la uvimbe ni mashavu au midomo ya uke na mlango au mdomo wa uzazi. Mashavu au midomo ya uke kitaalamu huitwa ‘labia majora ambayo ni midomo ya…
JE, WAJUA CHANZO CHA KUPUNGUA MBEGU ZA MWANAUME?
Kazi ya uzarishaji wa mbegu za mwanaume katika mfumo wa uzazi unahitaji utendaji kazi wa korodani pamoja na tezi za hypothalamus na pituitary ambazo huwa kwenye mfumo wako wa fahamu(ubongo) kwa ajili ya kuzarisha homoni ama vichocheo vinavyosababisha uzarishaji wa manii. Mbegu zinapozarishwaji kwenye korodani, husafirishwa na kuchanganywa…