JE, WAJUA CHANZO CHA KUVURUGIKA KWA MZUNGUKO WA HEDHI?

  Mzunguko wa hedhi umegawanyika katika maeneno makuu mawili; Upevushaji mayai(Ovulatory Circle) Kutopevusha mayai(Anovulatory Circle) Mzunguko wa mwanamke unaopevusha mayai unatoa ute wa uzazi unaovutika kama ute mweupe wa yai la kuku, na anaweza kupata ujauzito. Mzunguko Wa Mwanamke Usiopevusha Mayai Mwanamke hawezi kupata ujauzito ingawa katika mizunguko yote hiyo…

JE, WAJUA CHANZO CHA HOMA YA MATUMBO(TYPHOID) DALILI, NA TIBA YAKE?

Mpendwa msomaji, naomba utege sikio nikueleze kwa kifupi tu uweze kujua habari ya homa ya matumbo.   Homa ya matumbo(Typhoid) kwa kawaida husababishwa na bakteria anayeitwa Salmonella Typhi. Ugonjwa huu huambukizwa kwa mtu kwa kula au kunywa chakula au maji yalio na kinyesi cha mtu aliyambukizwa. Bakteria hawa hutoboa na kunyonya…

JE, WAJUA VYANZO NA DALILI ZA MIRIJA YA UZAZI KUJAA MAJI?

    Hali ya kujaa maji kwa mirija ya uzazi ya wanawake huitwa hydrosalpinx kwa kitaalamu. Ni tatizo ambalo hujitokeza kwa wanawake kutokana na maambukizi ya magonjwa ya zinaa yasiyotibiwa, yaani PID (pelvic inflammatory disease), bila shaka tutayazungumzia baadaye katika makala zinazofuata kwa kuchanganua ugonjwa mmoja baada ya mwingine na…

VIJUE VYANZO NA DALILI ZA UVIMBE KATIKA KIBOFU AU NJIA YA MKOJO.

  Uvimbe sehemu ya njia ya mkojo hutokana na maambukizi ya bacteria kama vile UTI, nk. Hali hii mara nyingi huwapata wanawake. Visababishi vyake kwa kawaida hutokana na maambukizi ya bacteria amabayo tayari yameshapita katika utupu wa mwanamke; lakini hali hii ni mara chache sana hutokana na maambukizi kwenye mkojo…

JE, WAJUA VISABABISHI NA DALILI ZA UGONJWA WA VIDONDA VYA TUMBO(ULCERS)?

  Ndugu mpendwa leo napenda tuangalie Kwa ufupi tu sababu na dalili za vidonda vya tumbo pamoja na Tiba zake. VISABABISHI  1. Msongo wa mawazo 2. Matumizi ya vyakula visivyo vya asili yake hasa vilivyokobolewa Kama vile unga wa sembe, ngano iliyokobolewa, maandazi, chapati, chips, nk. 3. Matumizi ya vivywaji…

JE, WAJUA VISABABISHI NA DALILI ZA UGONJWA WA VIDONDA VYA TUMBO(ULCERS)?

Ndugu mpendwa leo napenda tuangalie Kwa ufupi tu sababu na dalili za vidonda vya tumbo pamoja na Tiba zake. VISABABISHI  1. Msongo wa mawazo 2. Matumizi ya vyakula visivyo vya asili yake hasa vilivyokobolewa Kama vile unga wa sembe, ngano iliyokobolewa, maandazi, chapati, chips, nk. 3. Matumizi ya vivywaji vya…

JE, WAJUA AINA ZA UVIMBE(FIBROIDS AU MYOMA), DALILI ZAKE NA VISABABISHI VYAKE?

Leo napenda nikufunulie Kwa kina lakini kwa ufupi tu. Tukiangalia tatizo la uvimbe Kwa kina mama sasa linazidi kuongezeka kwa kasi sana. Mabinti wengi na hata wanandoa wanazidi kupatwa na janga hili. Baadhi ya kina mama wamekuwa wakiondolewa kizazi kwa ajili ya tatizo hili. Sasa hebu tuangalia ili tufahamu Kwa…

JE, WAJUA VYANZO, DALILI NA MADHARA YA UGONJWA WA U.T.I?

U. T. I ni neno la kiingereza linalotamkwa kwa kifupi lakini kirefu chake ni, “Urinary Tract Infection” likimaanisha, “Maambukizi katika njia ya Mkojo. ” Ugonjwa huu humpata mtu yeyote bila kujali jinsia au umri. VISABABISHI VYAKE Ugonjwa wa UTI unaweza kusababishwa na vijidudu vya namna nyingi. Bakteria aina ya Escherichia…

JE, WAJUA SABABU ZA KUVURUGIKA KWA MZUNGUKO WA HEDHI?

KUVURUGIKA KWA MZUNGUKO WA HEDHI Mzunguko wa hedhi umegawanyika katika maeneno makuu mawili; Upevushaji mayai(Ovulatory Circle) Kutopevusha mayai(Anovulatory Circle) Mzunguko wa mwanamke unaopevusha mayai unatoa ute wa uzazi unaovutika kama ute mweupe wa yai la kuku, na anaweza kupata ujauzito. Mzunguko Wa Mwanamke Usiopevusha Mayai Mwanamke hawezi kupata ujauzito ingawa…

JE, WAJUA VYANZO VYA MAUMIVU YA KIUNO, NYONGA, NA TUMBO LA CHINI KWA WANAWAKE?

JE, WAJUA VYANZO VYA MAUMIVU YA KIUNO, NYONGA, CHINI YA KITOVU KWA WANAWAKE? Haya huwa ni Maumivu yanayompata mtusehemu ya  chini ya tumbo na nyonga. Kwa wanawake maumivu haya yanaweza kuwa dalili ya matatizo(maradhi) kwenye mfumo wa uzazi, mfumo wa haja ndogo, mfumo wa chakula au mifupa ya nyonga. Maumivu…