ZIJUE DALILI ZA KUTOKUWA NA UWIANO SAWA WA HOMONI(HORMONAL IMBALANCE).

Je, Dalili Zake Zinakuwaje?   Kwa kawaida dalili zake huwa ni tumbo kuunguruma, kuhisi uchovu wa mwili, nywele kunyonyoka, moyo kupepesuka, kukosa hamu ya tendo la ndoa, matatizo ya sukari kwenye damu, ugumba, nk. Hizo ni dalili chache tu nimependa kukuelezea juu ya kutokuwa na uwiano sawa wa homoni(hormonal imbalance).…

VIJUE VYANZO VYA UVIMBE KWENYE VIFUKO VYA MAYAI YA MWANAMKE(OVARIAN CYSTS). JE, DALILI ZAKE NA MADHARA YAKE YANAKUWAJE?

Uvimbe kwenye mayai ya mwanamke (ovary) hutokana na mkusanyiko wa majimaji yanayozungukwa na kuta nyembamba ndani ya mayai ya mwanamke. Uvimbe huu ambao hupatikana ndani ya mayai ya mwanamke ndio unaojulikana kama ovarian cyst. Uvimbe huu hutokea kwa wanawake wa umri wowote ule na mara nyingi huonekana kwa wanawake waliofikia…

JE, NINI CHANZO NA DALILI ZA KUPUNGUKIWA NGUVU ZA KIUME? JE, NINI MADHARA YAKE?

Upungufu wa nguvu za kiume ni kutokuwa na uwezo wa kudindisha au kusimamisha uume kwa ajili ya kufanya tendo la ndoa. Uume unapokuwa unadindisha vizuri halafu siku zingine unaishiwa nguvu, hilo linaweza lisiwe tatizo sana. Lakini kama upungufu wa nguvu za kiume utakuwa tatizo endelevu, hata hivyo unaweza kusababisha msongo…

JE, UVIMBE KATIKA TUMBO LA UZAZI UNAWEZA KUSABABISHA MIMBA KUTOKA AU KUPOROMOKA?

Na ieleweke kuwa, uvimbe ni bonge la tishu ambalo huota ndani ya ukuta wa mfuko wa kizazi(uterus). Fibroid huwa sio kitu cha kawaida kabisa; kwani tukiangalia asilimia 50% ya wanawake hivi sasa wamekuwa wakipatwa na matatizo ya uvimbe wa fibroid. Lakini kumbuka kwamba uvimbe aina ya fibroid mara nyingi huendelea…

JE, NINI HUSABABISHA MWANAMKE KUPATA HEDHI YA SIKU 2 TU KISHA INAKATA? JE, NINI DALILI ZAKE?

Kipindi cha mzungo wa hedhi hutofautiana kutoka kwa mwanamke mmoja kwenda kwa mwingine. Hata kwa mwanamke mmoja mzunguko wa hedhi unaweza ukawa sawa lakini baadaye ukawa tofauti. Mzunguko wa kawaida wa hedhi huwa ni kuanzia siku 28-35 na hujitokeza ovyo ovyo majuma mawili baada ya yai kupevuka. Kila mwanamke mwenye…

JE, WAJUA CHANZO NA DALILI ZA MAUMIVU CHINI YA KITOVU KWA WANAWAKE NA WANAUME?

Tatizo hili huwakumba wengi katika jamii yetu lakini kwa bahati mbaya watu wengi huchukulia ni jambo la kawaida kitu ambacho baadaye hupelekea watu wengi kuingia kwenye matatizo makubwa ya ki afya hasa kwenye mfumo wa uzazi na wa chakula. NUKUU: Yapo yale ya chini ya kitovu katikati, kushoto na kulia.…