Maumivu ya nyonga huwa ni maumivu sehemu ya tumbo la chini pamoja na nyonga zenyewe. Kwa wanawake, maumivu ya nyonga yaweza kuwa viashiria au dalili za matatizo yaliyoko kwenye mfumo wa uzazi, mfumo wa mkojo au mfumo wa usagaji chakula au mifupa. Kulingana na chanzo chake, maumivu ya nyonga yanaweza…
Je, Kutoheshimu Ndoa Yaweza Kuwa Chanzo Cha Mateso Na Magonjwa?
Je, Upendo Ni Nini? Upendo wa kweli sio hisia; ni uamuzi wa kujitoa na kukidhi mahitaji ya mtu na usitarajie chochote. Upendo wa kweli hauna sababu, matarajio, au masharti. Huu ndio upendo wa dhati. Ni chaguo la mtu kubaki kuwa umejitoa kabisa kwake bila kujali anachofanya au kutofanya. Na wengi…
Haya Ndio Madhara Ya Kutoa Mimba
Wanawake wengi wanaonyesha kuwa wasiri sana pale wanapokuwa wakifanya tabia ya utoaji mimba. Lakini hali zao baadaye hudhihirisha tu kile walichokuwa wakikifanya hapo awali. Wengi wao hufika hospitalini huku hali zao zikiwa tete kabisa pamoja na kwamba wanaweza kujitahidi kuficha historia ya mambo yao waliyokuwa wakiyafanya hapo awali. Lakini wapo…
Fahamu Mambo Yanayopelekea Mlango Wa Kizazi Kuvimba
Na ieleweke kuwa mlango wa kizazi ni sehemu ya chini ya mfuko wa kizazi(uterus). Na huu ndio mlango ambapo damu ya hedhi hupitia kutoka kwenye mfuko wa kizazi(uterus). Wakati wa kujifungua mtoto, mlango wa kizazi hutanuka ili kuruhusu mtoto apite. Lakini kama ilivyo tishu yoyote ndani ya mwili, hivyo, mlango…
Fahamu Dalili 6 Za Kuvimba Kwa Titi. Je, Nini Madhara Yake?
Na ieleweke kuwa, kuvimba kwa titi huwa ni kuathirika kwa tishu yake ambayo hupelekea titi kuuma, kuvimba, kuwa lenye unyevunyevu na hatimaye kuwa lenye rangi nyekundu. Hali hii pia inaweza kukusabbisha ukapatwa na homa au baridi kali. Kuvimba kwa titi mara nyingi huwaathiri wanawake wanaonyonyesha, ingawa wakati mwingine hali hii…
MATATIZO YA TEZI YA PARATHYROID
Matatizo makubwa ni pale tezi ya parathyroid inapozarisha kiwango kikubwa cha homoni au vichocheo vya parathyroid kwenye damu(hyperparathyroidism) au pale tezi za parathyroid zilizoko shingoni zinaposhindwa kuzarisha homoni au vichocheo vya kutosha vya parathyroid (hypoparathyroidism). Kiwango Kikubwa Cha Homoni Ya Parathyroid (Hyperparathyroidism) Katika matatizo haya, uzarishaji mkubwa kupita kiasi wa…
Haya Ndio Madhara Ya Maambukizi Ya PID
Ugonjwa wa maambukizi katika via vya uzazi(PID) ni maambukizi ya mirija ya mayai(fallopian tubes), vifuko vya mayai(ovaries), mfuko wa kizazi(uterus) pamoja na shingo ya kizazi(cervix). Ugonjwa huu usipotibiwa unaweza kusababisha makovu ama tishu kuoteana ikiwa na mkusanyiko wa ute mchafu kama vile usaha kwenye mirija ya mayai, na hivyo kuharibu…
Fahamu Madhara Ya Uvimbe Wa Fibroid Kwa Mama Mjamzito
Fibroids sio salatani bali ni vivimbe ambavyo huota ndani au nje ya mfuko wa kizazi(uterus) au mji wa mimba. Vivimbe vinaweza kushambulia ujauzito au kuondoa kabisa hali au uwezo wa kupata ujauzito. Vivimbe kwenye kifuko cha uzazi huwa ni vya kawaida kabisa. Tukiangalia asilimia 20%-80% ya wanawake wamekuwa wakipatwa na…
Je, Mbegu Za Mwanaume Zilizo Bora Na Zenye Afya Zinakuwa Na Ladha Na Harufu Gani Na Huwa Na Muonekano Gani?
Baadhi ya watu wanaweza kujiuliza je, ladha ya manii au shahawa huwa ikoje, au harufu yake inakuwaje. Wakati unapoweza kubadirisha sifa hizi, basi mabadiriko yanaweza pia kuwa ishara ya matatizo. Ladha, harufu, rangi na muonekano wa manii unaweza kutofautiana kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine. Manii zinaweza pia kubadirika…
Mambo 7 Yanayofanya Mbegu Za Mwanaume Kuwa Chache Na Dhaifu.
Manii kukosa mbegu pale anapozitoa kitaalam tunaita, “azoospermia.” Vyanzo vyake ni pamoja na kuziba kwenye njia za uzazi, matatizo ya homoni, matatizo ya kufika kileleni, au matatizo kwenye korodani au utendaji kazi wake. Visababishi vingi vinatibika na uwezo wa mwanaume kumpa mimba mwanamke unaweza ukarejea. Kwa visababishi vingine inawezekana kurejesha…